TDIC - Home Page
 
 
     

 
Advance Browse Catalog:
advanced search    
 
Tafuta haraka machapisho:
 
Public SERVICE REFORM PROGRAME in pursuit of Quality Public Services   English Kiswahili
 
 
   TDIC - Home Page
Muongozo
Kuhusu TDIC
Huduma zetu
Wadau
Madhumuni ya TDIC
Jinsi ya kushirikiana
Maktaba
Wasiliana nasi
 
Wadau:
  Benki ya Dunia
  British Council
PO-PSM- Ofisi ya Raisi Menejimenti ya Utumishi wa Umma.
ESRF - Taasisi ya Utafiti wa Masuala ya Kicuchumi na Kijamii.
TCCIA - Kituo cha Biashara Viwanda na kilimo.
CIDA - Shirika la Kimataifa la Maendeleo Kanada.
TGDLC - Kituo cha Tanzania cha Mafunzo ya Maendeleo ya Dunia
UNESCO Shirika la Umoja wa Mataifa kuhudumia, Elimu, Sayansi na Utamaduni.
NEMC - Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira.
IFM - Chuo cha Usimamizi wa Fedha.

TDIC - Habari
 
    Picha Zaidi za ufunguzi
 
 

Kituo cha Taarifa za Maendeleo Tanzania (TDIC) kumefunguliwa rasmi na Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Ndugu Marten Lumbanga, katika tafrija iliyoandaliwa kwa pamoja na wadau mbali mbali. Kituo hiki kimefunguliwa na serikali pamoja na wadau mbalimbalii kwa ajili ya kukusanya na kusambaza taarifa za maendeleo ya Tanzania kutoka kwa wadau mbalimbali kwa njia ya maandishi na electron.

Pia kituo kitakuwa sehemu ya kupatikana kwa taarifa za kazi za maendeleo zinazoendeshwa na Wahisani na kuchochea ukuaji wa maarifa kwa shughuli za mandeleo ya Tanzania.

Kituo kinahudumia wateja wafuatao: wahisani wa maendeleo, watendaji wa serikali,wasomi, sekta binafsi, mashirika ya kidini n.k.


 



 
 

 

 

TDIC - Home Page
 
Muongozo | Kuhusu sisi | Huduma zetu | Wadau | Jinsi ya kushurikiana | Madhumuni ya TDIC | Maktaba | Wasiliana nasi
© Kituo cha Habari za Maendeleo Tanzania- 2005.