TDIC - Home Page
 
 
     

 
Advance Browse Catalog:
advanced search    
 
Tafuta haraka machapisho:
 
Public SERVICE REFORM PROGRAME in pursuit of Quality Public Services   English Kiswahili
 
 
   TDIC - Home Page
Muongozo
Kuhusu TDIC
Huduma zetu
Wadau
Madhumuni ya TDIC
Jinsi ya kushirikiana
Maktaba
Wasiliana nasi
 
Wadau:
  Benki ya Dunia
  British Council
PO-PSM- Ofisi ya Raisi Menejimenti ya Utumishi wa Umma.
ESRF - Taasisi ya Utafiti wa Masuala ya Kicuchumi na Kijamii.
TCCIA - Kituo cha Biashara Viwanda na kilimo.
CIDA - Shirika la Kimataifa la Maendeleo Kanada.
TGDLC - Kituo cha Tanzania cha Mafunzo ya Maendeleo ya Dunia
UNESCO Shirika la Umoja wa Mataifa kuhudumia, Elimu, Sayansi na Utamaduni.
NEMC - Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira.
IFM - Chuo cha Usimamizi wa Fedha.

TDIC - Huduma
 
    Huduma zetu
 
 

Huduma za TDIC
Kituo chetu kinatoa huduma zifuatazo kwa umma:
• Maktaba ya wazi kwa ajili ya marejeo/Maktaba iliyoshehenezwa machapisho ya maendeleo kuhusu Tanzania.
• Upatikanaji wa taarifa zinazohusiana na maendeleo katika Mtandao kwa kutumia kompyuta za kituo.
• Kuunganishwa na kanzi za umma na mitandao inayohusiana na maendeleo.
• Upatikanaji wa machapisho ya wadau wa maendeleo.
• Upatikanaji wa machapisho kwa ajili ya mashirika ya ndani. .
• Nafasi kwa ajili ya maonyesho.
• Machapisho ya bure kama sehemu ya huduma ya habari kwa umma

TDIC inatoa huduma kwa umma kama ifuatavyo:

Jumatatu-Ijumaa Kuanzia saa 3.00 asubuhi – 10.00 jioni
Jumamosi, Jumapili na Siku za Sikukuu: Haifunguliwi na kunaweza kuwepo mabadiliko bila kutoa taarifa.



 



 
 

 

 

TDIC - Home Page
 
Muongozo | Kuhusu sisi | Huduma zetu | Wadau | Jinsi ya kushurikiana | Madhumuni ya TDIC | Maktaba | Wasiliana nasi
© Kituo cha Habari za Maendeleo Tanzania- 2005.