|
TDIC - Home Page
| PO-PSM- |
Ofisi ya Raisi Menejimenti ya Utumishi
wa Umma. |
| ESRF
- |
Taasisi ya Utafiti wa Masuala ya Kicuchumi
na Kijamii. |
| TCCIA
- |
Kituo cha Biashara Viwanda na kilimo. |
| CIDA
- |
Shirika la Kimataifa la Maendeleo Kanada. |
| TGDLC
- |
Kituo cha Tanzania cha Mafunzo ya Maendeleo
ya Dunia |
| UNESCO |
Shirika la Umoja wa Mataifa kuhudumia,
Elimu, Sayansi na Utamaduni. |
| NEMC - |
Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira. |
| IFM
- |
Chuo cha Usimamizi wa Fedha. |
|
|
TDIC - Kuhusu sisi
| |
| |
|
| |
kuhusu
TDIC
Kituo cha Habari za Maendeleo Tanzania (TDIC)
ni mpango wa kuhamasisha ubia wa serikali,
mashirika ya umma, mashirika ya nchi mbalimbali,
unaoendeshwa na Kituo cha Tanzania cha Mafunzo
ya Maendeleo ya Dunia (TGDLC) kilichopo Chuo
cha Usimamizi wa Fedha (IFM).
TDIC imeanzishwa ili kuhamasisha matumizi
na upatikanaji wa habari ili kuboresha ufanisi
wa programu za maendeleo nchini Tanzania.
Kwa kutumia rasilmali za kituo, wanafunzi,
umma, watafiti na watunga sera wanaweza kupata
taarifa mbalimbali kuhusu maendeleo.
|
|
|
|
|
|
|
|
|