TDIC - Home Page
 
 
     

 
Advance Browse Catalog:
advanced search    
 
Tafuta haraka machapisho:
 
Public SERVICE REFORM PROGRAME in pursuit of Quality Public Services   English Kiswahili
 
 
   TDIC - Home Page
Muongozo
Kuhusu TDIC
Huduma zetu
Wadau
Madhumuni ya TDIC
Jinsi ya kushirikiana
Maktaba
Wasiliana nasi
 
Wadau:
  Benki ya Dunia
  British Council
PO-PSM- Ofisi ya Raisi Menejimenti ya Utumishi wa Umma.
ESRF - Taasisi ya Utafiti wa Masuala ya Kicuchumi na Kijamii.
TCCIA - Kituo cha Biashara Viwanda na kilimo.
CIDA - Shirika la Kimataifa la Maendeleo Kanada.
TGDLC - Kituo cha Tanzania cha Mafunzo ya Maendeleo ya Dunia
UNESCO Shirika la Umoja wa Mataifa kuhudumia, Elimu, Sayansi na Utamaduni.
NEMC - Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira.
IFM - Chuo cha Usimamizi wa Fedha.

TDIC - Maktaba
 
    Maktaba
 
 

Kituo cha Habari za Maendeleo Tanzania ni kituo kinachotoa huduma za marejeo kilicho wazi kwa umma wote unaohitaji taarifa kuhusu maendeleo nchini Tanzania, hususani watoa maamuzi, wanataaluma, waandishi wa habari, wanasiasa, vijana na watafiti.

Kituo pia huendesha majadiliano mbalimbali kwa ajili ya maendeleo na mada zinazohusiana na maendeleo katika ukumbi wake wa majadiliano uliosheheni vifaa vya kisasa vya kuendesha mikutano.

Machapisho katika kituo yanaweza kupatikana kwa mtandao na kwa kutumia programu ya katalogi kwa ajili ya kupata kwa urahisi machapisho yaliyopo.

Kutumia Mtandao

Huduma ya mtandao kwa kutumia kompyuta za kituo inatolewa kwa umma ili kupata taarifa za maendeleo, kazi mbalimbali na taarifa nyingine zinazohitajika kwa ajili utafiti

 



 
 

TDIC - Home Page
 
Muongozo | Kuhusu sisi | Huduma zetu | Wadau | Jinsi ya kushurikiana | Madhumuni ya TDIC | Maktaba | Wasiliana nasi
© Kituo cha Habari za Maendeleo Tanzania- 2005.