|
TDIC - Home Page
| PO-PSM- |
Ofisi ya Raisi Menejimenti ya Utumishi
wa Umma. |
| ESRF
- |
Taasisi ya Utafiti wa Masuala ya Kicuchumi
na Kijamii. |
| TCCIA
- |
Kituo cha Biashara Viwanda na kilimo. |
| CIDA
- |
Shirika la Kimataifa la Maendeleo Kanada. |
| TGDLC
- |
Kituo cha Tanzania cha Mafunzo ya Maendeleo
ya Dunia |
| UNESCO |
Shirika la Umoja wa Mataifa kuhudumia,
Elimu, Sayansi na Utamaduni. |
| NEMC - |
Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira. |
| IFM
- |
Chuo cha Usimamizi wa Fedha. |
|
|
TDIC - Ushirikiano
| |
 |
| |
|
| |
Ushirikiano
na TDIC
TDIC imepata ushirikiano
wa awali kutoka serikalini, wadau wa maendeleo
na mashirika yafuatayo:
• Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi
wa Umma (PO-PSM)
• Kanada, Serikali ya Kanada (CIDA)
• British Council
• Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM)
• Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira
(NEMC)
• Taasisi ya Utafiti wa masuala ya kiuchumi
na kijamii (ESRF)
• Tanzania Chamber of Commerce Industries
and Agriculture (TCCIA)
• Kituo cha Tanzania cha Mafunzo ya
Maendeleo ya Dunia (TGDLC)
• United Nations, Education, Scientific
andCultural Organization (UNESCO)
• Benki ya Dunia
Jinsi ya kushirikiana na TDIC
TDIC inashirikiana na
watu binafsi, vikundi na asasi, kwa njia mbalimbali:
• Mchango wa moja kwa moja: Wadau wa
maendeleo wenye nia ya kuhamasisha maarifa
na taarifa kwa ajili ya maendeleo wanaweza
kutoa michango ya fedha taslimu au mali kusaidia
gharama za uendeshaji wa Kituo.
• Majadiliano ya Maendeleo: Mashirika
au asasi za maendeleo zinazoendesha majadiliano
kuhusu maendeleo zinaweza kukodisha suhula
za TDIC na kuwasiliana na wadau mbalimbali
kupitia Kituo cha Tanzania cha Mafunzo ya
Maendeleo ya Dunia (TGDLC).
• Vitabu na Maonyesho: Wadau wa Maendeleo
wanaweza kuuza machapisho yao kwa mali kauli,
kutoa mchango wa vitabu, CD-ROM na Video kwa
ajili ya maktaba, au kutoa vipeperushi vyao
kwa ajili ya kusambaza bure, na wanaweza kuweka
maonyesho yao katika sehemu za maonyesho za
TDIC |
|
|
|
 |
|
|
|
|
|